
Nikizaza kikubwa kama sio kasheshe kwa wapenda bure wa mjini na wale warembo wasiojithamini...............
Yule mfadhili mkubwa wa warembo sasa yuko mashakani,kwake yeye sio tatizo sana kuwa mashakani,ila mashaka wanayo watu waliokuwa wanafadhiliwa maana ni aibu ya mwaka,wale waliopewa magari mekundu wengi waliyabadili rangi sasa wanaumiza kichwa kwa mafuta,waliofunguliwa maduka wanawaza watayafunga lini kama si kupaka hizo cream wakajimaliza kama sio kujikoboa,sababu kama kujichubua walujichubua mpaka wakabaki sugu sasa watakunywa mikorogo hahaha.
Tisa kumi wanaume wamjini wao imekuwa kinyume,wamefurahi maana huyo mfadhili aliwachukulia sana wanawake zao hahhaha,wanatamani wamuombee aongezewe miaka hata iwe milele,japo kuwa hapo naunga mikono sio mkono hahaha.
Najiuliza sasa kama maduka yatafungwa na magari yatauzwa au kuyapaki,je dawa za ile kitu watapata wapi????????????????????//maana mkubwa alikuwa anakupa hela ya doziiiii.Nikajiuliza tena je fadhila zile alizowapa si ndio wakati wakulipa fadhila haya sasa,uzeni magari mnunue dawa,wenye maduka pangisheni,mlioolewa sasa sijui mtatoka kwenye ndoa muuze nyumba..............................mmh inatisha sana huo ni mwanzo tuu msishutuke maana wengine matumbo yanawauma....bado yeye mkubwa kuanza kuumwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...............................hii inaitwa ni bakora ya mwalimu wa zamuuuuuuuuuuuuuuuuu